Nurdin Pallangyo (kulia)wa chuo cha uandishi wa habari na utangazaji Arusha alitoa maelezo juu ya wanafunzi wa AJTC kufungua blog kushoto ni mwandishi wa blog Udzungwa class Grace Frank.(Picha na Johaness Johnson)
NA.GRACE FRANK.
wanafunzi
wa chuo cha uandishi wa habari na utangazaji Arusha wameshauriwa kufungua blog
ili kuendeleza vipaji vyao.
Akizungumzia manufaa yake kupata wadhamini na matangazo na pia imemsaidia kujua vitu vingi katika internet kama mwandishi wa habari anavyotakiwa kujua akiwa katika shughuli zake za kiuandishi.
Nurdin Pallangyo
Kwa upande wake Bw Charles Chami wa chuoni hapo amesema blog imemsaidia kwa hali ya juu japo kuna changamoto nyingi ila amewasa wanafunzi wenzake kufungua blog ili kujua vitu vingi zaidi na kuwasaidia kimaisha.
No comments:
Post a Comment