Friday, 4 July 2014
MICHEZO ||Huyu Ndie Mchezaji Mwingine Wa Yanga Aliyehamia Azam Fc.
Taarifa ambayo imekua kama ya ghafla ni kuhusu Aliyekuwa mchezaji kiungo wa Yanga Athumani Iddi ‘Chuji’
kusemekana kijiunga na timu ya Azam Fc na asubuhi ya leo ameonekana akiwa mazoezini kwenye Uwanja wa Azam Complex Chamazi, Dar es Salaam.
{habari na jimmy minja}
Thursday, 3 July 2014
MASHINDANO YA UTANGAZAJI AJTC KUWAKA MOTO!
Chuo cha
uandishi wa habari na utangazaji cha jijini Arusha kimetangaza rasmi mashindano
ya utangazaji kwa wanafunzi wote chuoni hapo.
ULINZI WAIMARISHWA SABASABA

Na Janeth Sisso
Ulinzi katika Maonyesho ya 38 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (DITF), yanayofanyika katika Uwanja wa Mwalimu Julius Nyerere umeimarishwa na kazi ya kufunga kamera za ulinzi imekamilika.
MBOWE AMSHANGAA PINDA KUHUSU UKAWA

Na Aziz Mwinuka
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe ameelezea kushangazwa na kauli ya Waziri Mkuu Mizengo Pinda kwamba kitendo cha Ukawa kususia Bunge la Katiba kinauweka njia panda uchaguzi wa serikali za mitaa
Wednesday, 2 July 2014
TZ Celebrity || VOTE FOR DIAMOND PLUTNUMZ, BAADA YA BET SASA DIAMOND AWA NOMINATED KATIKA TUZO ZA AFRIMMA MPIGIE KURA HAPA {2014
Baada
ya BET tunarejea tena nyumbani Afrika,Diamond Plutnumz Yuko nominated
kwenye Tuzo za #Afrimma( AFRICAN MUSIC MAGAZINE AWARDS)
awards,zitakazofanyika jijini Texas,tarehe 26 july.
Yupo Nominated
kwenye category 5.
Best male east afrikaSong of the year(number1).Video of the year (number 1)Best collabo (nymber1 rmx)ft davidoAnd Best afrikan artist of the year.kuvote fuata link hii www.afrimma.com/afrimma-nominees-2014/Kisha vote kwenye kila category Aliyopo.
Sports || Adam Lallana Wa SOUTHAMPTON Ametua LIVERPOOL Kwa Pauni Milioni 25{ 2014
Adam Lallana
amekamilisha usajili wake kutoka Southampton kwenda Liverpool kwa kitita cha
pauni milioni 25.
Lallana amekamilisha vipimo vya afya na ataungana na Rickie
Lambart aliyetokea Southampton.
Kiungo huyo ambaye pia alikuwa katika kikosi
cha England kilichocheza Kombe la Dunia, ameichezea Southampton mara 265.
BONANZA LA WANAHABARI ARUSHA LAFANA. PINTO AAHIDI KUSAIDIA KUBORESHA LIJALO
Mabingwa katika
mpira wa miguu na mpira wa Pete(Netball)Chuo cha Arusha Journalism Training
College(AJTC)wakishangilia ushindi wao.
![]() |
| wanafunzi wa AJTC Mabingwa katika mpira wa miguu na mpira wa Pete(Netball)Chuo cha Arusha Journalism Training College(AJTC)wakishangilia ushindi wao. |
a
Arusha.Timu ya soka na ya mpira wa pete za Chuo Cha Uandishi
wa Habari Arusha (AJTC) juzi zilitwaa ubingwa katika bonanza la tisa la
waandishi wa habari Kanda ya Kaskazini.
Katika bonanza hilo, lilifanyika katika uwanja wa Sheikh
Amri Abeid kwa kuandaliwa na Taswa Arusha na kampuni ya Ms Unique, jumla ya
timu 10 zilishiriki kutoka mkoa wa Arusha na Manyara.
Timu ya soka ya AJTC ilitwaa ubingwa baada ya kuifunga kwa
mikwaju ya penati 5-4 timu ya Radio Sunrise, wakati wasichana wa timu hiyo,
waliwashinda timu ya chuo cha uandishi
wa habari na maendeleo ya jamii (IMS), magoli 18-5. SOMA ZAIDI
Subscribe to:
Comments (Atom)






