Mkufuzi wa chuo cha uandishi wa habari na utangazaji Arusha Adson Kagiye akihojiwa na mwandishi wa AJTC Radio Jesca Willy kuhusu wanafunzi wanaohama Hostel na kwenda kupanga vyumba.(Picha na Johaness Johnson)
HABARI NA JESCA WILLY
Wanafunzi wa chuo cha uandishi wa habari na
utangazaji Arusha, wanaoishi
nje ya hostel, wameshauriwa kufuata
sheria za nchi, nakufuata kilicho
weleta chuoni hapo ili kutimiza
malengo waliyo jiwekea
katika katika maisha yao.