Adam Lallana
amekamilisha usajili wake kutoka Southampton kwenda Liverpool kwa kitita cha
pauni milioni 25.
Lallana amekamilisha vipimo vya afya na ataungana na Rickie
Lambart aliyetokea Southampton.
Kiungo huyo ambaye pia alikuwa katika kikosi
cha England kilichocheza Kombe la Dunia, ameichezea Southampton mara 265.

No comments:
Post a Comment