Hausigeli aliyedaiwa kuteswa na mtuhumiwa huyoMwanamke
Yasinta Rwechengura, mkazi wa Boko wilayani Kinondoni, Dar anayekabiliwa na
kesi ya kutuhumiwa kumtesa hausigeli wake kwa miaka miwili (siku 730),
amejikuta akihenyeshwa mahakamani.Hayo yamemkuta juzi alipofikishwa kwenye
Mahakama ya Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Wilaya ya Kinondoni kujibu tuhuma
zinazomkabili ambapo alikuwa akipokea amri kutoka kwa askari na kumfanya kukosa
raha.




No comments:
Post a Comment